Posts

Morata transfer agreed

Image
Chelsea Football Club and Real Madrid have agreed terms for the transfer of Alvaro Morata to Stamford Bridge.   The move is now subject to him agreeing personal terms and passing a medical. Morata, 24, is a Spanish international forward, and helped Real to lift a second successive Champions League last season.

Taratibu za kuomba ili kujiunga na Chuo Kikuu kwa waliomaliza kidato cha sita au stashahada

Image
1.Kwa waliomaliza Cheti na Diploma wanatakiwa kuwasilisha nyaraka zao NACTE ili zihakikiwe(verification) kupitia Link ambayo imetolewa kupitia mtandao wa NACTE baada ya uhakiki huo utapewa #code_namba kulingana na ufaulu wako ambayo ndio itakuwezesha kufanya UDAHILI kwenye chuo kikuu unachokipenda,kumbuka Hakuna chuo kitapokea maombi ya udahili bila code namba hiyo,zoezi limeshaanza na linaendelea Hadi sasa . 2.Kwa waliomaliza Kidato cha Sita maombi UDAHILI kwa mwaka huu Unafanyika moja Kwa moja kupitia chuo na sio TCU kama miaka iliyopita, UDAHILI utaanza tarehe 22.07.2017 hadi 30.08.2017,hivyo mwanafunzi atafanya maombi ya kusoma shahada kupitia chuo anachokipenda, vyuo vikuu vyote vimeshapewa maelekezo kupitia maafisa UDAHILI (admission officers) kupitia mafunzo maalum yaliyoisha tarehe 15.07.2017,Kitu cha muhimu ni kwamba mwanafunzi hatolazimika kusafiri kwenda chuo husika kila kitu kitafanyika kupitia mtandaoni (Online), Anachotakiwa kufanya mwanafunzi ataingi